iqna

IQNA

naim qassim
Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema watu wa Palestina wataibuka katika vita dhidi ya Gaza wakiwa na nguvu zaidi kuliko hapo awali.
Habari ID: 3477980    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/03

Muqawama (Mapambano ya Kiislamu)
BEIRUT (IQNA)- Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon ameongeza kuwa, "Kuhusu kuenea kwa vita, uwezekano huo upo, iwapo watatushambulia, tutalazimika kujihami na tutatumia nguvu zetu zote. Hatuogopi vitisho vya Israel, tunaamini kuwa tutashinda."
Habari ID: 3477901    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/11/17

Kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA)- Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu katika baadhi ya nchi za Magharibi, vitendo vya kigaidi na kuuawa Waislamu huko Pakistan ni ishara ya kufilisika nchi za Magharibi.
Habari ID: 3476498    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/01

Sheikh Naim Qassim
TEHRAN (IQNA) - Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel zinajua vyema kwamba uamuzi madhubuti wa harakati hiyo wa kujibu mapigo na uchokozi wa aina yoyote hauwezi kubadilika.
Habari ID: 3473703    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/04